Friday, May 20, 2016

Ujauzito

Ujauzito umekuwa ukichukuliwa kama jambo la kawaida.Kwa wanawake wengi ambao ni mara yao ya kwanza kuitwa mama na wanaume ambao pia ni mara yao ya kwanza kuitwa baba, jambo hili si la kawaida sana. Ni furaha isiyoelezeka.Hivyo basi  Taarifa sahihi kwenu mnaopata mtoto kwa mara ya kwanza ni hatua ya kwanza ya malezi. 

Malezi haya yanaanza na Wiki 36-40 za Ujauzito.Ndio Malezi ya Kibaolojia. 

Fuatilia hapa kwa maelezo zaidi upate kujua zaidi

No comments:
Andika comments

Shukrani

Aina za Habari

Hifadhi