Sunday, August 7, 2016

NaneNane Morogoro,Ufugaji Samaki katika Matank

Ikiwa kesho ndio kilele cha NaneNane usikose kuja kuona fursa zikufaazo.
Kwa mkulima makini na unayetaka kujikita katika kilimo cha biashara usikose kufika Banda la Chuo kikuu cha kilimo  Sokoine ujionee utaalam Mpya wa ufugaji Samaki katika Matanki.

Tanki  hili limetengenezwa kitaalam na linauwezo wa kukuzia Samaki sawasawa na walio katika mabwawa. Faida moja Wapo na ya kipekee tanki ni nafuu kuliko mabwawa ya kuchimba na samaki hutumia muda wa miezi minne  hadi kuvunwa. Faida nyingine ni kutumia eneo dogo  zaidi kulinganisha na mabwawa ya kuchimba. 
Tembelea Banda la SUA kwa maelezo zaidi. 

2 comments:
Andika comments

Shukrani

Aina za Habari

Hifadhi